Barcelona Washinda Laliga

Barcelona Yashinda Laliga Zikiwa Zimesalia Mechi Nne Kumalizika kwa Msimu

Pambano la Barcelona dhidi ya Espanyol limekuwa mchezo wa kuamua taji huku vigogo wa Catalan FC Barcelona wakishinda Laliga zikiwa zimesalia mechi 4. Ulikuwa ushindi mtamu kwenye mechi ya derby dhidi ya RCD Espanyol ambao wanapambana katika eneo la kushushwa daraja. Kimahesabu Barca wameshinda ligi wakiwa pointi 14 mbele ya Real walioshika nafasi ya pili ...

Soma zaidi